Nephrology Society of Tanzania

  • Home
    • Community Programs
  • NESOT Conference 2022
    • REGISTRATION 2022
    • ABSTRACT SUBMISSION 2022
  • Past Events
    • NESOT Conference 2021 >
      • Pictures Ramada
      • REGISTRATION 2021
    • NESOT Conference 2019 >
      • REGISTRATION 2019
    • NESOT Conference 2018 >
      • Themes
      • REGISTRATION 2018
    • NESOT CONFERENCE 2017
    • NESOT Conference 2016 >
      • Moshi Conference 2016
    • World Kidney day 2014
  • Articles and Presentations from Tanzania
  • Guidelines
  • Membership
  • Case Discussions
  • Contact
  • Nesot Blog
  • 2nd NESOT scientific conference 2015
  • Home
    • Community Programs
  • NESOT Conference 2022
    • REGISTRATION 2022
    • ABSTRACT SUBMISSION 2022
  • Past Events
    • NESOT Conference 2021 >
      • Pictures Ramada
      • REGISTRATION 2021
    • NESOT Conference 2019 >
      • REGISTRATION 2019
    • NESOT Conference 2018 >
      • Themes
      • REGISTRATION 2018
    • NESOT CONFERENCE 2017
    • NESOT Conference 2016 >
      • Moshi Conference 2016
    • World Kidney day 2014
  • Articles and Presentations from Tanzania
  • Guidelines
  • Membership
  • Case Discussions
  • Contact
  • Nesot Blog
  • 2nd NESOT scientific conference 2015

Blog

Dialysis in Tanzania. 

6/19/2014

1 Comment

 
By Fikra Pevu
http://www.fikrapevu.com/muhimbili-yazidiwa-na-wagonjwa-wa-figo/




HOSPITALI ya Taifa ya Muhimbili, inapokea takribani wagonjwa 30 kwa siku kwa ajili ya kuchujwa damu kutokana na matatizo ya figo, hali inayosababisha Hospitali hiyo kukabiliwa na uhaba wa mashine hizo, kufuatia hospitali hiyo kuwa na mashine 17 tu.


Mkurugenzi wa Huduma za uuguzi katika hospitali hiyo, Agnes Mtawa, ameiambia FikraPevu kuwa tatizo hilo limewafanya kushindwa kuhudumia wagonjwa wanaofika hospitalini hapo kwa wakati, na idadi ya wagonjwa wenye kuhitaji huduma hiyo imekuwa ikizidi kila siku.

Aidha, amesema kwa sasa kitengo hicho kimepokea msaada wa mashine ya kusafisha damu kutoka ubalozi wa India, mashine ambayo inathamani ya zaidi ya shilingi milioni kumi za Tanzania.

Amesema licha ya kuwepo kwa tatizo hilo, kitengo hicho kinakabiliwa na matatizo lukuki ikiwemo uhaba mkubwa wa madaktari bingwa wa magonjwa ya figo ambapo kwa sasa wapo madaktari saba tu huku wengine watatu wakiwa wapo nje ya nchi kwa ajili ya kupata elimu zaidi na kufanya kazi kwa shida.

Tafiti mbalimbali zinaonyesha kuwa wataalamu wa afya wanasema kuwa zipo sababu kadhaa zinazosababisha maradhi katika figo kwa binadamu ikiwamo matumizi mabaya ya dawa hususani watu wanaotumia sawa za kupunguza maumivu, dawa za kienyeji, baadhi ya dawa za Kichina, uvutaji wa sigara na unywaji wa pombe kupita kiasi, licha ya kiungo hicho kuwa miongoni mwa viungo muhimu katika mfumo wa utendaji kazi wa mwili wa binadamu. 

- See more at: http://www.fikrapevu.com/muhimbili-yazidiwa-na-wagonjwa-wa-figo/#sthash.XGksozGR.dpuf
1 Comment

    Author

    Nephrology Society of Tanzania

    Archives

    June 2014
    March 2013

    Categories

    All
    Presentations In Tanzania

    RSS Feed

Powered by Create your own unique website with customizable templates.